Habari
Chamellion aja na Remix ya Bring it on
Mwanamuzki Josse Chamellion wa Uganda ameachia ngoma mpya Desemba 5, akiwa na mwanamuziki mwenzake wa nchi hiyo Pallaso ikiwa ni Remix ya wimbo wa Bring it on. mwanamuzki huyo hivi sasa hari yake inazidi kuwa juu katika maisha ya kimuziki, na kuwa miongoni mwa wanamuziki wakubwa wenye fedha nchini Uganda na Afrika mashariki.
Jose Chamellion feat Pallaso -Bring it on
{mmp}JosechamelioneftpallasobringItonremix.mp3{/mmp3}