Burudani
Chaz Baba ameguka Twanga Pepeta
Bendi ya Twanga Pepeta imejikuta ikianza mwaka 2012 vibaya baada ya mwanamuziki wake tegemezi katika upande wa waimbaji Chazi Baba kutangaza kujitoa katika bendi hiyo baada ya mkabata wake kuisha kwa muda mrefu na kupiga akapela.