Burudani

Chege afungua duka

Chege afungua duka

 

Said Juma a.k.a Chege Chigunda kutoka TMK Wanaume Family ameamua kuwa mjasiriamali na kujitupia katika bishara ya duka la nguo ili kujiongezea mkwanja, badala ya kutegemea muziki peke yake.

Chege afungua duka

“Duka langu lipo pande za Kinondoni kwa Manyanya, Dar siyo mbaya mashabiki wangu na wadau wengine wa burudani wakaja kunisapoti kwakua nimedondosha vitu vya kijanja zaidi dukani,” alisema Chege.

Big up Chege!

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents