Technology

China yapeleka chombo cha Shenzhou-11 angani, kitaa kwa mwezi mzima

Baada ya miezi kadhaa ya maandalizi, China imepeleka chombo chake chenye wanajimu wawili angani.

satellite2

Chombo hicho kiitwacho, Shenzhou-11 kilipaa angani kutokea Jiuquan Satellite Launch Centre kwenye jangwa la Gobi.

https://www.youtube.com/watch?v=P7RgtGyaNZo

Wanajimu, Jing Haipeng na Chen Dong watatumia siku mbili kufika kwenye maabara ya Tiangong-2 au ‘Heavenly Palace-2′, iliyoanzishwa September.

Watakuwa huko kwa siku 30 – kipindi kirefu zaidi kwa wanajimu wa China kukaa angani kufanya majaribio ya teknolojia za anga.

Maabara ya Tiangong-2 ipo umbali wa kilomita 393 kutoka duniani.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents