Umbea

Chris Brown na Rihanna warudiana kwa Collabo!


(Chris na Rihanna wakiwa studio)

Chris Brown na Rihanna wamewashock Fans wao baada ya kuja pamoja kwa ajili ya kushirikiana kimuziki kwa mara ya kwanza tangu uhusiano wao kuharibika vibaya. Rihanna amabaye jana alisheherekea birthday yake ya kutimiza miaka 24, aliandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwa kuiimba nyimbo yake mpya na Chris Brown, Cake remix.

Chris naye alimwish ex wake huyo Happy Birthday humo humo kwenye ukursasa wa Twitter amabamo Rihanna baadaye alimshukuru mpenzi wake huyo wa zamani.

Inaonekana wawili wake wamebury da beef na wako tayari kuendelea kumake good music kwa ajili ya fans.
Hakuna kati yao aliyekubali au kukataa uwezekano wa kurudiana kimapenzi so sisi tumekaa mkao wa kula kusubir

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents