Burudani

Chris Brown na Rihanna waungana kwenye mechi ya Lakers Vs Knicks

707710442_zps0adb652e

Jana katika siku ya Christmas, Rihanna na Chris Brown walijumuika pamoja kwenye mechi kali ya kikapu kati ya Knicks na Lakers katika uwanja wa Staples Center jijini Los Angeles, Marekani.

Wapenzi hao wa zamani hakuona shida kukaa pamoja kushuhudia mechi hiyo ambapo Knicks walishinda kwa vikapu 116 – 107.

Kingine mastaa hao walionekana wakiwasili uwanjani wakiwa na bodyguard mmoja.

chr

Rihanna+New+York+Knicks+v+Los+Angeles+Lakers+kBAUCeIEH2kl

Rihanna+New+York+Knicks+v+Los+Angeles+Lakers+MJQEE12BvlCl

Rihanna+New+York+Knicks+v+Los+Angeles+Lakers+SvdMe4Us4v7l

Rihanna+New+York+Knicks+v+Los+Angeles+Lakers+v08guippNc0l

Rihanna+New+York+Knicks+v+Los+Angeles+Lakers+X88zLo2FDVWl

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents