Burudani

Christian Bella afunguka kujenga ghorofa mbili Dar (Video)

Msanii wa muziki @bellachristian1 amefunguka kuzungumzia ghorofa zake mbili ambazo amezijenga huko Mbweni jijini Dar Es Salaam. Amesema baada ya kupost clips ya mjengo huo, kuna watu wengi wanamuiliza kwanini anamiliki nyumba Tanzania wakati yeye ni raia wa Congo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents