Bongo Movie

Cloud 112 asumbuliwa na presha

Cloud

mwigizaji mkongwe wa filamu nchini Issa Mussa maarufu kama Cloude 112, amesema kwa sasa anasumbuliwa kidogo na presha kwa muda wa wiki moja sasa. hivyo anategemea hari yake kuwa nzuri siku mbili tatu zijazo baada ya kutumia dozi.

mwigizaji huyo amesema katika mwaka mpya anawashauri wasanii waweze kuolewa na wengine kuoa ili kutunza heshima ya kazi zao, pia amesema anatarajia kuachia filamu zake mbili ikiwa Jeraha la Moyo na Triple L ambazo anaamini zitafanya vizuri zaidi katika mwaka 2012.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents