Bongo Movie
Cloud 112 azindua gari la kampuni
Baada ya wasanii Ray na Kanumba kuja na magari yao kwaajiri ya kusambaza wasanii na vyombo vya shooting kwaajiri ya filamu, sasa Cloud 112 kama anavyojiita kwa sasa, naye kaamua kuja na gari lake kwaajiri ya kazi kama hiyo.
Cloud anasema kwa sasa yupo na mkewe katika kumalisha filamu zake mwenyewe, huku akiwa kama Mc katika shughuli mbalimbali ambayo atakodiwa . Aidha amedai kwamba kwa sasa mwandishi mkubwa wa filamu zake, mkewe Cynthia .
Amesema kwa sasa kampuni yake, inatarajia kuachia filamu mpya itakayokwenda kwa jina la MALUMBANO. Anasema kampuni yake ya CY & CL , itakuwa inashulika na mambo mbalimbali yanayohusiana na filamu.