Habari
Coast 2 Coast ya Zola D Benja na Ukoo fulani
Video ya wimbo wa mwanamuziki na mwanamasumbwii Zola D pamoja na Benjamini wa Coast 2 Coast ambao unafanya vizuri sana huko Kwnya. Katika wimbo huo Zola D pamoja na Benjamini wa Mambo jambo, wamewashirikisha wasanii kutoka Kenya.
Richie Rich anayeishi Marekani lakini kazi zake za muziki anafanya pamoja na kundi la ukoo Fulani pale Kenya, na Sharama ambaye kwa pamoja wakaja na wimbo huo wa Coast 2 Coast. Alisema wimbo huo ni kuonyesha ushirikianao wao kwa kuvuka boda na kuupeleka muziki wa kizazi kipya katika Next Level,.
Coast 2 Coast
{hwdvideoshare}id=1612|width=400|height=300|tpl=playeronly{/hwdvideoshare}
Zola D-Hustler King
{hwdvideoshare}id=1613|width=400|height=300|tpl=playeronly{/hwdvideoshare}