Videos
Concert ya mkali wa Facebook…DJ Cleo weekend hii Bongo
DJ Cleo kutoka South Africa anatarajia kufika Bongo kwa kupiga show siku ya Jumamosi ya tarehe 10 mwezi huu, show itafanyika katika Viwanja vya Posta Kijitonyama na inasemekana kiingilio kitakuwa shilling elfu 10. Wasanii wakibongo watakaosindikiza show hii ni pamoja na Suma Lee, Ommy Dimpozi, Dully Sykes, Chege & Temba, Juma Nature, Tip Top Connection, Linex na wengine kibao.