Michezo

Confederation Cup 2017: Ujerumani mambo safi bila Özil wala Müller

Jumatatu hii umechezwa mchezo mmoja wa kumalizia mzunguko wa kwanza wa kombe la mabara kwa ngazi za timu za taifa (Confederation Cup) nchini Urusi ambapo Australia walikuwa wakicheza na Ujerumani.

Katika mchezo huo Ujerumani waliibuka wababe kwa ushindi wa mabao 3-2.

Magoli ya Ujeumani yalifungwa na Lars Stindl (43), Julian Draxler (48) na Leon Goretzka (57) na magoli ya Australia yalifungwa na Lars Stindl (4), Tom Rogic (41).

Kwa sasa mechi inayosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka duniani ni ile itakayowakutanisha Ujerumani dhidi ya Chile siku ya Alhamisi hii huku Australia wakicheza na Cameroon.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents