Uncategorized

Conor McGregor atangaza kustaafu ngumi, Rais wa UFC Dana White na mashabiki wa MMA washtushwa na taarifa hizo

Conor McGregor ametangaza kustaafu kupambana kwenye mapambano ya UFC.

Bondia huyo wa MMA (21-4 MMA, 9-2 UFC) mwenye umri wa miaka 30, hata hivyo yupo kwenye adhabu baada ya kusababisha vurugu kwenye pambano la Nevada State Athletic Commission UFC 229 dhidi ya Khabib Nurmagomedov.

The Irishman took to Twitter in the early hours of Tuesday to reveal his retirement decision

Kupitia akaunti yake ya Twitter, mpambanaji huyo anayetumia viungo vyote ndani ya ulingo maarufu kama ‘Mixed Martial Art’ ameandika ujumbe wa kustaafu kwake siku ya Jumanne na kuwashtua mashabiki wengi.

Fans were left stunned but many are wary after he announcement a retirement back in 2016

”Nimeamua leo hii kustaafu kucheza mchezo huu unaojulikana kama
‘Mixed Martial Art’, nawatakia wale wote wanafunzi wenzangu kuendelea na mashindano,” amesema McGregor.

Conor McGregor ameongeza ”Kwa sasa najiunga na washirika wenzangu ambao tayari walishastaafu.” alimalizia hivyo.

Kwa upande wake rais wa UFC, Dana White amekiri kushangazwa na taarifa hizo baada ya kupita saa moja tangu McGregor kutoa taarifa hiyo kupitia Twitter .

“Anazo fedha za kustaafu, na ana mvinyo,” amesema White huku akiongeza kupitia ujumbe wake. “Kabisa haishangazi, kama mimi ningekuwa ndiyo yeye ningetangaza kustaafu pia, anastaafu akitokea kwenye mapambano ninahakika kunakitu kingine anahitaji kuendelea nacho na ameshamaliza yale makubwa aliyotaka kufanya kwenye michezo.”

The Irishman retires as the first fighter in UFC history to hold two belts at the same time in two weight classes
UFC President Dana White confirmed the news of McGregor's retirement via text to ESPN

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents