Habari
CUF yaipongeza serikali kwa jambo hili (+video)
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ameipongeza serikali kwa kukusanya mapato na kutekeleza miradi mikubwa ikiwemo kujenga reli ya kisasa (SGR) na kufua umeme kwenye maporomoko ya maji, striegler’s Gorge .
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Makao makuu ya Chama hicho, Prof.Lipumba ameipongeza pia
serikali kwa kuhamasisha ujenzi wa viwanda nchini.