Habari
Daktari Bingwa JKCI ashinda tuzo ya watafiti vijana Kiafrika
Daktari Bingwa Magonjwa ya Moyo kutoka Tasisi ya Jakaya Kikwete (JKCI), Pedro.K. Pallangyo ashinda Tuzo ya Watafiti Vijana wa Kiafrika Kwa Mwaka 2017.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo