Habari
Daraja la Ubungo maziwa
Daraja linalounganganisha Ubungo Maziwa hadi kutokea barabara ya Mandera maeneo ya External kila siku linazidi kuisha na kumong’nyoka. Watu wa chuma cha kavu nao wanaokota vyuma ambavyo vinakatika kutoka kwenye daraja hilo, ambalo ni
kiungo muhimu kwa wenye usafiri mpaka watembea kwa miguu. Lakini ndiyo hivyo kwa chini kumegeuzwa dampo la kutupia takataka, huku juu likijiishia polepole na kutoa ajira kwa waokotaji wa chuma chakavu.
Moja ya upambe wa daraja hilo, hapo chini ambapo wakazi wanazidi kutupa takataka
Na haya ndiyo makazi yanayozunguka eneo hilo.
By Mo