Burudani

Darassa afunguka kusinzia kwa ‘Hasara Roho’

Wimbo wa “Muziki” umeonekana kwenye masikio ya mashabiki kiasi ambacho inanonekana ni vigumu kwa ‘Hasara Roho’ kupenya kirahisi.

Darassa amefunguka kwa kudai kuwa kazi yake mpya ambayo ameiachia wiki iliyopita aliisikiliza kwa umakini akaona huu ndio muda muafaka wa kuiachia kwa mashabiki lakini wao walitarajia wimbo utakuwa kama ‘Muziki’.

“Kitu ambacho kinatokea ni wimbo wa muziki umewakaa sana na kuusikiliza sana kwa namna moja au nyingine,” amekimbia kipindi cha 255 kwenye XXL cha Clouds FM.

“Mimi mwenyewe nilikaa sana na huu wimbo na kuupima, nikaona kuwa ni project ambayo inafaa kufuata na ikawatosha. Kwa hiyo kwa watu kukaa na kutegemea kuwa uje wimbo kama “Muziki” hiko ndio kitu kinachorudisha sanaa yetu nyuma,” ameongeza.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents