Davido awashtua mashabiki kwa hili
Davido amewapa mashabiki wake ugonjwa wa moyo ghafla. Ni kweli msanii huyo anakuja na remix aliyofanya na Robert Kelly wa Marekani?
Basi kama hujui hilo unatakiwa kuamka kwenye huo usingizi mzito uliopo. Baada ya wimbo wake wa ‘If’ kutazamwa zaidi ya mara milioni 20 kwenye mtandao wa YouTube tangu alipouachia mwezi February mwaka huu, muimbaji huyo wa Nigeria ameonyesha kuwa kuna remix ya wimbo huo ambayo amefanya na R Kelly.
“Who’s ready????,” ameandika Davido kwenye picha hiyo hapo juu aliyoiweka kwenye mtandao wa Instagram. Hizi ni baadhi ya comment za mashabiki kwenye mtandao huo baada ya kuuona ujumbe huo.
adekunlecharity: Can’t wait @davidoofficial
sayfetty: Nice job O.B.O
OBO WHEN ARE YOU DROPPING “BABY TOMATOES”? PERSONALLY IM WAITING! ???? @davidoofficial
tobeelawba: Nice one, can’t wait
timakellogs: Wetin R Kelly wan talk there…..
eemdee2002: @yusufwire bro were yu in my mind…. Omarion will definitely slay that song better dan Kelly. Kelly z a legend o but truly he has lost touch
kayceeimmortalc: Give dem give dem left n right,hot hot, Africa to the world ,OBO baddestest jor ooo…..we are always ready for you like scout boyz, break d internet ,30 billion move…..Lol @davidoofficial
fent360@davidoofficial , haaa bobo yiii!!!! Kuku kill us naaaa…. R Kelly?? Damn!!!! Baba mi, can’t wait mean… O’Shey gan, chai Obo baddest