Burudani
Davido na upendo wake kwa CR 7
Mwanamuziki Davido amezidi kuteka mashabiki wa soka hasa wa Real Madrid kwa kumtaja kiungo machachari wa timu hiyo Cristiano Ronaldo (CR7), kwenye wimbo wake mpya wa ‘Fall’.
Mkali huyo alinayehit kila kukicha amezikonga nyoyo za mashabiki wa timu hiyo ambayo hivi karibuni imetwaa ubingwa wa Champions League (UEFA).
Ngoma hiyo iliyoipiku ngoma yake ya “If” imeweza kutazama kwa zaidi mara milioni mbili (2,101,721) kwa mujibu wa mtandao wa YouTube huku ikiwa ni wimbo namba 19 kutrend katika list ya mtandao huo unaoonesha video.
Na Laila Sued