Habari
DC Gondwe aeleza alivyojipanga ‘RC Makonda ni mtu wa viwango vya juu’ (Video)
Mkuu mpya wa Wilaya ya Temeke Mhe @ggondwe alitembelea ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam na kufanya mzungumzo na @baba_keagan ikiwa ni siku chache toka aanze kazi ndani ya Mkoa wa Dar Es Salaam. Gondwe amesema amekuja kwenye mkoa ambao una mambo mengi hivyo amejipanga kikamilifu kuhalikisha anawahudumia wananchi.