Burudani
Diamond afunga mwaka vibaya
Katika kusherekea mkesha wa mwaka mpya mwanamuziki wa kizazi kipya, Diamond amejikuta akiumaliza mwaka vibaya kwa kusekwa Lumande huko pande za Iringa kwa kosa la kuvunja kamera na kumjeruhi Mwandishi wa mkoani hapo ambaye alimfuata kwa lengo la kumuuliza kwanini alichelewa kufanya show.