Mahojiano
Diamond afunguka siri ya Davido na Wizkid kufanya vizuri zaidi yake (Video)
Diamond afunguka siri ya Davido na Wizkid kufanya vizuri zaidi yake (Video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amefunguka kuhusu kuonekana kupitwa kimuziki na wasanii ambao walikuwa sawa kimuziki hapa barani Afrika ambao ni Davido na Wizkid.
Akiongea na Bongo5 Diamond amesema haya:-
By Ally Juma.