BurudaniUncategorized
Diamond awarudia Basata,aomba kuutumia wimbo wa Mwanza kwenye Show
Diamond awarudia Basata,aomba kuutumia wimbo wa Mwanza kwenye Show
Msanii wa muziki wa kizazi kipya na C.E.O wa lebo ya muziki ya WCB Diamond Platnumz amefunguka na kuwaomba Basata kuutumia wimbo wao ba Rayvanny wa Mwanza kwenye tamasha lao la Wasafi Festival 2018.
Kupitia ukurusa wake wa Instagram Diamond ameandika hayo.
Na hiki ndio alichokiandika
Ikumbukwe kwamba wimbo huo ulifungiwa na baraza la sanaa Tanzania Basata kwa kudaiwa kuwa wimbo huo hauna Maadili.
By Ally Juma.