Burudani
Diamond kufanga ndoa na mwanamke gani kati ya hawa (Video)
Msanii wa muziki Diamond Platnumz amemuahidi mama yake kufunga ndoa mwaka huu na kuachana na mambo ya ujana ambayo amedai yanamchukiza mama yake. Mwimbaji huyo alitoa taarifa hiyo jana wakati akimtakia heri mama yake katika siku ya wanawake duniani.