Burudani

Diamond kusaka vipaji vya utangazaji mikoani

Wakati mashabiki wa Diamond Platnumz wakisuribiria ujio wa Wasafi Radio na Tv, muimbaji ameonyesha kutaka kutoa fursa kwa vijana.
Diamond ana mpango wa kusaka vipaji vya utangazaji kwa ajili ya Wasafi Radio na TV.

“Pleae tell me, From your perspective which City has the best Radio and Tv Presenters…?,” aliandika Diamond Instagram na kuendelea, “Eti nna swali…Hivi ni Mkoa Upi Una Vipaji sana vya Watangazaji?.”.

Baada ya post hiyo watu mbali mbali walipendekeza mikoa tofauti tofauti, miongoni mwao ni DJ Nicotrack mtangazaji wa kipindi cha Dj Show cha Radio One, Dj huyo alipendekeza mikoa ya Mbeya na Arusha.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents