Burudani
Diamond na Mameneja wake watinga BASATA kumaliza sakata la mkataba wa Rich Mavoko na WCB (+video)
Diaomond Platnumz na Mameneja wake wawili, Babu Tale na Sallam wametinga BASATA kuitikia wito wa baraza hilo kuhusu malalamiko ya msanii wa muziki Rich Mavoko aliyedai kuwa mkataba wake na WCB umekaa kinyonyaji.
Siyo tatizo, maana Mavocal Alikuepo kabla ya WCB
Siyo tatizo, maana Mavocal Alikuepo kabla ya WCB
kashapotea tena mavoko anatapatapa haaaaa utapata tabu sanaaaaaaaa
Majiziii ayoooh
Prince Mau usi usemee mchezo wkt ww upo nje ya mchezo wasubil wenyew wakiongea utajua,kwn mbna hata barakh da Prince alikimbia kwnye kundi la ally kiba kwn ali kiba nae jizi?
Iyo office ya basata mbn nzuri ivyoo
Yeah Diamond fanya mambo yako
Unajua yule ni fund anaweza hata bila wcb mwanzo aliweza vp na leo anaxhdwaje
ndo hapo sasa… shangaa wcb wanavyo neng’eneka
ata asiwaze mbona kazi yake ilikuwa nzury ila nakuomba usiweke bifu na mond maana binaada bhana huwa tuna matatizo apo utaona kajitoa mwenyewe wcb alafu anaanza kumtolea maneno machafu mond endapo utafanya hivyo me ntakuchukia
Maybe hajapendezwa n w2 w hpo