Videos
Diamond na Omarion waacha historia kwenye uzinduzi wa A Boy From Tandale (Video)
Msanii wa muziki kutoka WCB, Diamond Platnumz amefanya show ya nguvu akiwa na muimbaji kutoka Marekani, Omario. Wawili hao waliweza kuimba wimbo ‘African Beauty’ ambao unapatikana katika albamu mpya ya muimbaji huyo.