Burudani
Diamond Platnumz aachia audio za nyimbo tano ikiwemo aliyomshirikisha Young Killer
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameamua kuachia audio wa wimbo wake wa Pamela aliyomshirikisha Rapa Young Killer uliyopo kwenye albamu yake ya A Boy From Tandale.
Baadhi ya nyimbo nyingine alizoachia ni pamoja na Sijaona, Kosa Langu, Baikoko na wimbo wa tano ukienda kwa jina la Nikuone.