Burudani

Diamond Platnumz amtambulisha rasmi Tanasha kwa mama yake mzazi (+video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz jana Januari 13, 2019 amemtambulisha rasmi mchumba wake mpya Tanasha kwa mama yake mzazi.

Kwenye utambulisho huo, Diamond aliwaalika pia ndugu, jamaa na marafiki zake. tukio lilifanyika nyumbani kwake Madale.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents