Burudani
Diamond Platnumz atua Mahakama ya Kisutu (+Picha)
Msanii wa Muziki wa Bongo Flava, Diamond Platnumz amewasili Mahakama ya Kisutu leo. Habari zilizotufikia kutoka Mahakamani hapo zinaeleza kuwa msanii huyo amefika Mahakamani hapo kwenye Mahakama ya watoto.
Tazama picha;