Mahojiano
Director Kenny aeleza alivyokutana na kusaidiwa na Harmonize “Mimi nilikuwa mwanafunzi wa Hanscana, akanichukua” (+ Video)
Director Kenny aeleza alivyokutana na kusaidiwa na Harmonize "Mimi nilikuwa mwanafunzi wa Hanscana, akanichukua" (+ Video)
Muandaaji wa video za muziki hapa Tanzania akitokea Zoom Production Director Kenny amefunguka haya jinsi alivyokutana na kusaidiwa na Harmonize, akiongea na Bongo5 Kenny amezungumza haya:-
By Ally Juma.