Burudani
Dj Khaled amuongeza Drake kwenye album ijayo, Grateful
Dj Khaled bado anaendelea kuandaa album yake mpya, Grateful ambapo sasa tutegemee pia collabo kali kati yake na Drake.
Kupitia ukurasa wake wa instagram, DJ Khaled ameweka wazi kuwa sauti za Drake zimeshafika studio na muda wowote wanaikamilisha na itasikika album hiyo.
PART 1 ! Did the @champagnepapi vocals come in yet !! EveryTING TOP SECRET T!! Part 1 .. part 2 up next … fan luv I got us !!!!!!!! #GRATEFUL ALBUM ITS COMING!!!!!!!!!! ????????????????????????????
Mtayarishaji mkuu wa album ya Grateful ni mtoto wa Dj Khaled, mwenye miezi mitano, Asahd Tuck Khaled.