Burudani
Dj Pierra Makena akaribia kuitwa mama
Dj namba moja wa kike nchini Kenya, Pierra Makena hatimaye anakaribia kuitwa mama.
Makena ambaye anashika namba moja kwa dj’s wa kike mwenye mvuto nchini humo, amezidi kuwa maarufu Kenya na nje kwa kazi yake hiyo.
Hivi karibuni imegundulika kuwa Makena ni mjamzito na mimba yake ina miezi mitano mpaka sasa japo kuwa mwazo hakutaka kuweka wazi hilo.