Habari
Dkt Mwakyembe aunda kamati kufuatilia utekelezaji mkataba wa TBC na Star Times
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe ameunda Kamati ya kuchunguza ubia wa Kampuni ya StarTimes na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) kufuatia hoja mbalimbali zilizojitokeza.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo