Burudani
DMX aikosa Dar, Fabolous atibua
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani John David Jackson almaarufu kama Fabolous, jana alifanya Show ya kuwaweka midomo wazi Watanzania kwa kile ambacho kilitokea jana kwa kutoamini ni yule yule mwenye mapozi ya kukimbiza. Hata hivyo msanii mwingine aliyetegemewa kufika siku hiyo ni DMX ambaye inasemekana hakufanikiwa kuingia kwenye viwanja vya Leaders Club vya jijini Dar es salaam kutokana na kuchelewa kupanda ndege.
Pia wasanii mbalimbali wa ndani nao walipanda ili kuonyesha uwezo wao katika tamasha hilo lililoandaliwa na Clouds Fm pamoja na Str8 Muzik…