Michezo

Do or Die: kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera aizungumzia mechi ya Simba dhidi ya Wakongo AS Vita ‘Vita ni hatari nje ya nchi’ (+video)

Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga raia wa Kongo, Mwinyi Zahera amesema kuwa mechi ya mtani wao Simba SC hapo kesho dhidi ya Wakongo AS Vita Club michuano ya klabu bibwa Afrika itakuwa ngumu pande zote mbili kwakuwa kila mmoja anayonafasi ya kutinga hatua ya robo fainali, huku akisistiza kuwa Vita huwa hatari zaidi wanapokuwa ugenini.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents