Bongo Movie
Video ya Dogo Janja alipodondoka jukwaani
Mwanamuziki wa kundi la Tip Top Connectioni, Abdulaaziz Chande maarufu kama Dogo Janja, siku ambayo alianguka jukwaani pale Billicanas na kuumia mguu, wakati akienda kutoa burudani kwa mashabiki wake ambao walikuwa wakimngoja kwa hamu.
Ilikuwa ni siku ya uzinduzi mdogo wa Tamasha la filamu zanzibar Ziff, ambalo lilifanywa pale Billicanas
{hwdvideoshare}id=1534|width=400|height=300|tpl=playeronly{/hwdvideoshare}