Michezo

Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2

Pambano lililosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao hatimaye limethibitishwa rasmi kuwa litafanyika May 2 baada ya kipindi kirefu cha mazungumzo kati yao.

10994441_905420819478792_2483216104082163491_n

Mafahari hao watazichapa kwenye ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas ambapo mgawano wa mapato utakuwa ni 60-40. Mayweather atachukua fedha nyingi zaidi.

Makubaliano yaliyofikiwa ni pamoja na wote kuchukua vipimo vya madawa na kila mmoja akiruhusiwa kutumia gloves zake. Pambano hilo linatarajiwa kuwa lenye thamani kubwa zaidi katika historia ya masumbwi.

Ni Mayweather ndiye aliyekuwa akisubiriwa kuthibitisha na amefanya hivyo jana kupitia mtandao wa Shots.

“What the world has been waiting for has arrived. Mayweather vs. Pacquiao on May 2, 2015 is a done deal,” aliandika.

“I promised the fans we would get this done, and we did. We will make history on May 2nd. Don’t miss it. This is the signed contract from both fighters. Giving the fans what they want to see is always my main focus. This will be the biggest event in the history of the sport. Boxing fans and sports fans around the world will witness greatness on May 2. I am the best ever, TBE, and this fight will be another opportunity to showcase my skills and do what I do best, which is win. Manny is going to try to do what 47 before him failed to do, but he won’t be successful. He will be number 48.”

Katika mapambano yake 47 Manny hajawahi kushindwa hata moja.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents