Kama umebahatika kutazama filamu ya Chausiku, sura na uwezo wa Dr Almas kwenye uigizaji vitakuwa si vigeni kwako na utakubaliana nasi kuwa anakuja kwa kasi licha ya kuwepo kwenye fani hiyo kwa muda.
Ameonekana pia kwenye filamu ya Wema Sepetu na JB, Chungu cha Tatu. Kwa sasa amekuja na filamu yake mwenyewe iitwayo King of Money. Mfahamu zaidi kwenye interview hiyo juu.