Burudani

Drake kuigiza kwenye tamthilia ya Uingereza ‘Top Boy’

Baada kuutesa muziki, rapper Drake ameamua kurudi tena kwenye uigizaji.

Rapper huyo anatarajiwa kuonekana kwenye tamthilia ya ‘Top Boy’ ya Uingereza. Muigizaji Ashley Walters ameiambia The Mirror kuwa Drake ana furaha ya kutaka kuigiza kwenye tamthilia hiyo.

“We met up to start talking about the show and we are working out a role for him. He loves acting, of course he wanted a part. He’s going to be really hands on and is getting stuck into it,” amesema muigizaji huyo.

“He is such a down to earth, nice guy. He’s so famous you would expect him to be this crazy character but he’s actually quite boring, in a good way…I had a meeting with him and I brought all of my kids along. My eldest was chatting away in his ear for ages and he was just cool,” ameongeza.

Drake amewahi kuigiza kwenye tamthilia ya Degrassi: The Next Generation.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents