BurudaniUncategorized
Drake kuja na ngoma hii baada ya God’s Plan
Baada ya God’s Plan kufanya vizuri huku video yake ikiwa imetumia kiasi cha zaidi ya bilioni mbili, Drake amefunguka kuhusu ngoma yake ijayo.
Kwa mujibu wa msanii huyo, wakati akiongea na mtandao wa TMZ,kuna uwezekano wimbo wake ujao ukapewa jina la ‘Just keep Helping’.
“[It’s] actually the best thing I’ve ever done in my life, to be honest with you. I don’t know,” Drake ameuambia mtandao huo.
Msanii huyo ameongeza, “Just keep helping. That’s it.”
https://youtu.be/E1GRTVbIFZM