Burudani
Drake na Tekno waingia jikoni
Mkali wa muziki kutoka nchini Canada meneo ya Toronto, Drake ameonyesha kuwa na mapenzi ya dhati kwa muziki wa afrika hii ni baada yam kali huyo kuposti picha akiwa na Tekno.
Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, Drake ameweka picha akiwa na msanii huyo ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki na kuandika ‘Tekkkk time’.
https://www.instagram.com/p/BclU-uHDxDT/?taken-by=champagnepapi
https://www.instagram.com/p/Bcj47w-AYyQ/?taken-by=teknoofficial
Mwa nzoni mwa mwaka huu Drake aliwahi kufanya ngoma ya ushirikiano na msanii kutoka nchini Nigeria aiywaye Wizkid na ngoma hiyo ilikuwa ya ikiitwa ‘Closer’