Promotion
Droo ya Shinda na Sim Account ya CRDB yachezeshwa, wawili waondoka wakicheka
Kampeni ya Shinda na Sim Account ya CRDB imechezesha ndoo yake ya tano ambapo Alhamisi hii (tarehe 1/11/2018) wamewatangaza washindi wawili, moja wa milioni 2 na mwingine wa milioni 1 pamoja na wengine kumi wa laki moja moja.
Washindi hao ni JAFARI KIMWAGA toka KIGOMA aliyejizolea 2,000,000/= na ANTHONY SYLVESTER toka GEITA aliyejizolea 1,000,000/
Wawili hao waliibuka washindi baada ya kujisajili ya simaccount kupitia *150*62# na kuanza kutumia huduma mbalimbali.