Michezo
Dudu Baya achambua mechi ya France Vs Belgium, atoa sababu 10 za France kupigwa (Video)
Msanii wa muziki wa hip hop, Dudu Baya amefunguka kuichambua mechi ya kombe la dunia hatua ya nusu fainali kati ya France Belgium ambayo inatarajiwak kuchezwa majira ya saa tatu usiku.