Mahojiano
Dudu baya ajisalimisha Basata baada ya kukaidi wito wao, Akata rufaa ya kuonana na Waziri – Video
Dudu baya ajisalimisha Basata baada ya kukaidi wito wao, Akata rufaa ya kuonana na Waziri - Video
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva GODFREY TUMAINI alimaarufu DUDU BAYA @konki3master Ameeleza nia yake ya kujisalimisha @basata.tanzania Baada ya kukaidi wito alioitwa BASATA tarehe 6/01/2020 ambapo alihitajika kufika katika ofisi za Baraza la Sanaa Taifa (BASATA).
Lakini baada ya kukaidi wito huo wa Basata mnamo tarehe 07/01/2020 @basata.tanzania Ilitangaza kumfungia muziki na leo aliamua kwenda @basata.tanzania Kwa ajili ya kuomba radhi na kutoa maelezo baada ya kupata tuhuma ambazo BASATA walieleza kwenye barua yao.
By Ally Juma.