Burudani
Dudu baya atangaza tarehe ya kufunga ndoa “Sijawahi kuishi na mwanamke, watoto wangu wote nimewaza nikishi geto la washikaji” – Video
Dudu baya atangaza tarehe ya kufunga ndoa "Sijawahi kuishi na mwanamke, watoto wangu wote nimewaza nikishi geto la washikaji" - Video
Msanii na mlongwe wa muziki wa Bongo Fleva Godfrey Tumaini alimaarufu Dudubaya amefunguka na litaja tarehe anayoitarajia kufunga ndoa ambapo amesema hakuna kitu chochote anachofikiria zaidi ya kufunga ndoa kwasasa.