Burudani

Dulayo azindua video Billc

Dullayo_1270133711

Muimbaji wa muziki wa kizazi kipya Dulayo Jumapili iliyopita amezindua wimbo wake wa Twende na mie, ambao umekuwa gumzo kwenye Night Club.

Akizungumza na Bongo5, alisema wimbo huo ambayo video yake alifanyia katika studio ya Dk Marcon, utafanya vizuri kwenye video kwakuwa audio ilikamata sana.

Pia aliomba mashabiki wakae mkao wa kula kwani ana nyimbo nyingi zinakuja.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents