Burudani

Duma afunguka gharama ya filamu yake mpya ‘nimetumia mil. 45 kuitengeneza’ (+Video)

Duma afunguka gharama ya filamu yake mpya 'nimetumia mil. 45 kuitengeneza' (+Video)

Msanii wa filamu Daudi Michael Tairo, anayefahamika zaidi kwa jina la Duma ndani ya tamthilia ya Siri ya Mtungi ameelezea mipango yake ya uzinduzi wa filamu mpya ya ‘Nipechangu’ Agosti 18 , 2018 siku ya Jumamosi Mlimani City ikiwa imegharimu jumla ya milioni 45.

Related Articles

3 Comments

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents