Mahojiano
Duma ampongeza Mlela kwa kugombaniwa na wanawake “Hiyo ni bahati sana na pole yake Ebitoke, kiki zinasaidia sana” – Video
Duma ampongeza Mlela kwa kugombaniwa na wanawake "Hiyo ni bahati sana na pole yake Ebitoke, kiki zinasaidia sana" - Video
Msanii wa Bongo Movie @duma_actor amempongeza Msanii mwenzake wa Bongo Movie @mlelandro kwa kugombaniwa na wanawake. Duma ambaye amedai kwamba Mlela amemzidi kwenye Tasnia amemshauri kuwa angefanya jambo la kistaarabu kwa kuwaoa wote @ebitoke na mwanamke wa sasa wa Mlela kwa siku moja na ingekuwa ndoa ya taifa.
Mbali na @duma_actor amesema kuwa kiki kwa wasanii zinasaidia sana huku akisema kutokuelewana kwake na @gabozigamba sio kiki na hajawahi kufanya kiki.
By Ally Juma.