Habari
D’Weekend Chat Show ya Clouds TV kufanya ‘Birthday Bash’ Mwanza, Arusha, Dar na Zanzibar
Kipindi cha D’Weekend Chat Show cha Clouds TV kinatarajia kufanya party ya kusherehekea mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake katika miji minne nchini. Birthday Bash hiyo ya kwanza itafanyika kuanzia Ijumaa ya wiki hii jijini Mwanza kwenye kiota cha Club Fusion.
Jumamosi ya June 15, bash hiyo itafanyika jijini Arusha kwenye ukumbi wa Triple A.
Birthday Bash hiyo itahudhuriwa na watangazaji wa show hiyo ambao ni Lugha Kali, Lady Hahaa, Noelitta na Qwhisar.